Pero quillo que ise? Que yo no he robao na!
-
ForoParalelo: Miembro
Pero quillo que ise? Que yo no he robao na!
-
ForoParalelo: Miembro
La lectura en suajili
Aprender la lectura en suajili es muy importante, porque su estructura se utiliza en todas las conversaciones diarias. La única solución es dominar la gramática y el vocabulario para poder hablar el idioma con fluidez. Pero primero debemos entender el papel que la lectura en suajili juegan en la lengua.
La lectura en suajili
Kifungu cha 26.
1) Kila mtu ana haki ya kuelimishwa. Elimu yapasa itolewe bure hasa ile ya madarasa ya chini. Elimu ya masarasa ya chini ihudhuriwe kwa lazima. Elimu ya ufundi na ustadi iwe wazi kwa wote. Na elimu ya juu iwe wazi kwa wote kwa kutegemea sifa ya mtu.
2) Elimu itolewe kwa madhumuni ya kuendeleza barabara hali ya binadamu, na kwa shabaha ya kukuza haki za binadamu na uhuru wake wa asili. Elimu ni wajibu ikuze hali ya kueleana, kuvumiliana na ya urafiki kati ya mataifa na kati ya watu wa rangi na dini mbali-mbali.Kadhalika ni wajibu iendeleze shughuli za Umoja wa Mataifa za kudumisha amani.
3) Ni haki ya wazazi kuchagua aina ya elimu ya kufunzwa watoto wao.
Kifungu cha 27.
1) Kila mtu anayo haki ya kushiriki katika maisha ya utamaduni ya jamii yo yote, na ana haki ya kufurahia ustadi wa kazi na kushiriki katika maendeleo ya mambo ya sayansi na faida zinazotokana nayo.
2) Kila mtu ana haki ya kulindwa kwa kila hali kutokana na mambo ya sayansi aliyoandika, aliyochora au aliyogundua.
-
Baneadito de baneaditos
-
ForoParalelo: Miembro
-
jinetero
la switch menudo hijo de perra.
-
Permisos de publicación
- No puedes crear nuevos temas
- No puedes responder temas
- No puedes subir archivos adjuntos
- No puedes editar tus mensajes
-
Reglas del foro
▲
▼
Atajos de Navegación Disponibles